KUZIONA YANGA VS WELAYTA VIINGILIO VYAWEKWA WAZI - WAPENDA MPIRA

PATA HABARI ZA MICHEZO KUTOKA KILA KONA YA DUNIA NA MAGAZETI KWA WAKATI UKIWA KARIBU NASI

Home Top Ad

Responsive Ads Here

Post Top Ad

Thursday, 5 April 2018

demo-image

KUZIONA YANGA VS WELAYTA VIINGILIO VYAWEKWA WAZI

Responsive Ads Here

IMG_20180321_060849

Mchezo wa kwanza wa kusaka tiketi ya kutinga hatua ya makundi kombe la Shirikisho barani Afrika kati ya Yanga dhidi ya Welayta Dicha utapigwa kwenye uwanja wa Taifa Jumamosi, April 07 2018.

Tayari viingilio vya mchezo huo vimewekwa hadharani ambapo Jukwaa la VIP A kiingilio itakuwa Tsh 15,000/-, VIP B na C Tsh 10,000/- wakati mzunguuko ikiwa tsh 3,000/-

Mchezo huo unatarajiwa kuanza saa 10:00 jioni pia utakuwa mubashara kupitia Azam Sport 2


b156d32aa7e2b32ff9350a67c27b6501

Post Bottom Ad

Kurasa

Fomu ya Anwani

Name

Email *

Message *